MISS TOURISM TANZANIA INTERNATIONAL

MISS TOURISM TANZANIA INTERNATIONAL
Miss Tourism Tanzania Pageants

Miss Tourism Tanzania Pageant

Miss Tourism Tanzania Pageant
We Welcome Miss Tourism Tanzania Organisation

Miss Tourism World 2005- Africa

MISS TOURISM TANZANIA PAGEANT

MISS UTALII TANZANIA 2013, KUTANGAZA KITAIFA NA KIMATAIFA NYATI NA MAAJABU YA HIFADHI YA NGORONGORO



NYATI WA AJABU APATIKANA NGORONGORO -TANZANIA.
 
Miss tourism Tanzania contestant on action
Hifadhi ya Ngorongoro (Ngorongoro Crater) ,imedhihirisha kuwa ni moja ya maajabu saba ya Dunia Afrika, kwa hivi karibuni kupatikana Nyati mwenye rangi nyeupe. Huyu ni Nyati wa pekee Tanzania na pengine Duniani kuwa na rangi hiyo,tofauti na Nyati wengine ambao rangia yao ya kawaida ni nyeusi. Bado wataalam wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wanafanya utafiti wa chanzo na asili ya nyati huyo mweupe,ambaye amekuwa kivutio hata kwa wafanyakazi wa mamlaka hiyo. Nae Miss Utalii Tanzania 2013,Hadija Mswaga ,amefurahishwa na tukio hilo ,ambalo amesema limeongezea idadi ya maajabu ya Ngorongoro Crater ,ambapo sasa yanafkia manne ikiwemo mchanga unao hama kwa kila mita 17 kila mwaka,unyayo na vuvu la binadamu wa kale zaidi Duniani, Binadamu na wanyama hayawani kuishi pamoja bila kudhuriana lakini pia uwepo wa wanyama katika bonde la Ngorongoro ambalo liko chini ya usawa wa bahari kwa zadi ya mita 210. Akiwa ni balozi wa Hifadhi ya Ngorongoro,ambao ndio wadhamini wakuu wa safari yake ya kwenda kushiriki mashindano ya Dunia ya Miss Tourism World 2013, Hadija ameahidi kwenda kuitangaza Ngorongoro na maajabu yake,ili kuongeza idadi ya watalii na pato litokanalo na utalii katika hifadhi hiyo.

NYATI WA AJABU NGORONGORO                         


THE MISS TOURISM TANZANIA 2013
        
1ND RUNNER UP MISS TOURISM TANZANIA 2013
3rd Runner Up Miss Tourism Tanzania 2013

No comments: